Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Friday, September 20, 2013

HATARI:DAWA ZA KULEVYA SASA KUCHANGANYWA NA SUMU YA PANYA


Dawa mpya ya Kulevya inaitengesha jamii nchini humo.
Nyaope ni dawa ya kulevya yenye mchanganyiko wa vitu vingi, na bei yake haifikii hata Dola Mbili na Nusu, lakini inaathiri maisha ya vijana wengi.
Uhalifu unaohusihwa na dawa za Kulevya unaongezeka Afrika Kuisni. Watu wameitaka serikali kushughulikia vyema suala hili. Suluma Kassim anasimulia
TAZAMA VIDEO HAPA

No comments:

Post a Comment