Dawa mpya ya Kulevya inaitengesha jamii nchini humo.
Nyaope ni dawa ya kulevya yenye mchanganyiko wa vitu vingi, na bei yake haifikii hata Dola Mbili na Nusu, lakini inaathiri maisha ya vijana wengi.
Uhalifu unaohusihwa na dawa za Kulevya unaongezeka Afrika Kuisni. Watu wameitaka serikali kushughulikia vyema suala hili. Suluma Kassim anasimulia
TAZAMA VIDEO HAPA
No comments:
Post a Comment