Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Tuesday, October 29, 2013

NAFASI MPYA ZA KAZI BENKI KUU YA TANZANIA,MWISHO 11st NOV 2013

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES


The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant positions at the Head Office and at its Branches in Mwanza, Mbeya, Arusha, Zanzibar and Training Institute, Mwanza.

1.Position: Accountant III (Domestic Payments and Settlement) - 2 Posts
Reports to: Head of Division
Contract type: Contract for unspecified period of time
Location: Head Office, Dar es Salaam
Job Purpose:
To execute accounting duties relating to domestic payments and settlement, reconciliation, accounting entries and examination of payments.
Primary Duties and Responsibilities:
a) Preparing, examining and analyzing periodic statements of financial position and statement of comprehensive income to assess accuracy, completeness and conformance to reporting standards;
b) Monitoring and reviewing accounting entries and related system reports for accuracy and completeness;
c) Resolving accounting entries discrepancies;
d) Reviewing and recommending International Financial Reporting Standards (IFRS) which are relevant to the Bank;
e) Reconciling internal and intermediary accounts;
f) Maintaining accounting records and preparing accounts and management information;
g) Providing advice and support to internal and external auditors in completing audits;
h) Examining and verifying payments;
i) Performing other related duties as may be assigned by the Head of Division.
Education/Professional Qualifications Required:
a) Bachelor‘s Degree in Accounting or its equivalent from an accredited institution;
b) Master’s Degree will be an added advantage.

Tuesday, October 15, 2013

Watoto milioni mbili na nusu hawako shuleni Tanzania


Tafiti zinaonyesha sababu za wanafunzi kutokuwapo shuleni ni pamoja na utoro, mimba za utotoni, umaskini na mwamko mdogo wa wazazi kuhusu elimu.
Wakati ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 , ikionyesha kuwa asilimia 44 ya Watanzania wote ni watoto chini ya umri  wa miaka 15, watoto milioni mbili na nusu  wamebainika kukosa fursa ya kupata elimu ya msingi.
Msemaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Ntambi Bunyazu, anasema kuwa sababu kubwa ya watoto wengi kutokuwapo shuleni licha ya kuwa na umri wa kwenda shule  ni utoro.
“Hata ukiangalia BEST (Kitabu cha Takwimu za Elimu ya Msingi) ya mwaka 2012 utaona kuwa utoro ulikuwa sababu kubwa ya watoto kutokuwa shuleni,” anasema.

Kanuni bora za usalama wa kompyuta yako


Ingawa mara nyingi husemwa kuwa hakuna usalama wa asilimia mia moja kwenye ulimwengu wa teknolojia ya kompyuta, ila kinga ni bora kuliko tiba.
Umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wanatumia kiasi kikubwa cha fedha kuimarisha ulinzi katika maeneo yao ya makazi?
Ndivyo ilivyo, tembelea hata katika makazi ya watu wa kawaida, madirisha yamejaa nondo, nyumba zimezungukwa na kuta ndefundefu. Wengine wamefikia hatua ya kufuga mbwa kwa ajili ya kuwalinda.
Nimeanza kwa kutoa mifano hii kuonyesha umuhimu wa kuzilinda kompyuta zetu. Ingawa mara nyingi husikika ikisemwa kuwa hakuna usalama wa asilimia mia moja kwenye ulimwengu wa teknolojia ya kompyuta, ila kinga ni bora kuliko tiba.

Sunday, October 13, 2013

Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,100

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali za ofisi za umma.
Kwa mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Xavier Daudi nafasi hizo za kazi ambazo zinapatikana katika tovuti ya Sekretarieti ya Ajira ya www.ajira.go.tz ni kwa ajili ya waajiri mbalimbali wa ofisi za umma.
Katibu alifafanua kuwa nafasi 949 ni kwa ajili ya waajiri walioainishwa katika ofisi za wizara, halmashauri na nyingine 185 ni za taasisi na wakala mbalimbali za Serikali.

Friday, October 11, 2013

AFYA:Epuka chumvi za kuongeza mezani kiafya

Chumvi imepewa majina mengi kulingana na jamii ambayo mengine yanachekesha
Kila Jumapili ya mwisho ya mwezi Septemba kila mwaka huitwa Siku ya Moyo Duniani.
Lengo la siku hiyo ni  kuwapa ufahamu watu kuhusu magonjwa ya moyo ambayo ndiyo kwa kiasi kikubwa  husababisha vifo kwa wingi duniani. Tukio hili hulenga pia katika kuhamasisha njia za kujikinga na zinazoweza  kusaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa hayo.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa mwaka 2005 peke yake palitokea vifo vya watu milioni 17.2 duniani kwa magonjwa ya moyo.
Hii ni  asilimia 30 ya vifo vyote duniani huku kina mama wakiongoza kwa kufa zaidi. Pia, kila mwaka katika vizazi hai 1,000, watoto wanane huzaliwa na matatizo ya moyo katika Tanzania. Takwimu zinaonyesha kuwa kati ya asilimia 20-30 ya watu wanaugua magonjwa ya moyo.

Monday, October 7, 2013

Algerian independent trade union rights are curbed

Independent trade unions and workers in Algeria are coming up against labour restrictions, in contrast to the rights enjoyed by their state-run counterparts
Algerian policemen try to take away a banner from anti-government protesters during a demonstration in Algiers (Photo: Reuters)

Independent trade unionists and workers in Algeria are facing obstacles hampering their legal rights, a Human Rights Watch report said Sunday protest organised by the Contractual Workers Union was violently dispersed, with 20 workers arrested and released on the same day.