TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Kamishna Mkuu wa Uhamiaji
anatangaza nafasi za kazi katika Idara ya Uhamiaji. Nafasi hizo ni Mkaguzi
Msaidizi wa Uhamiaji, Koplo wa Uhamiaji na Konstebo wa Uhamiaji.
A. MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (Nafasi 70)
A. MKAGUZI MSAIDIZI WA UHAMIAJI (Nafasi 70)
·
SIFA ZINAZOHITAJIKA
·
Awe
na Shahada ya Kwanza au Stashahada ya Juu kutoka Vyuo Vikuu
vinavyotambuliwa na Serikali katika fani zifuatazo:
Sheria, Uchumi, Biashara, Utawala,
Uandishi wa Habari, Ualimu, Usafirishaji, Raslimali Watu, Sayansi ya Kompyuta,
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Takwimu, Uchapaji, Uhandisi Majengo na
Uhandisi Mitambo.
·
Awe
na umri usiozidi miaka 35