SOCIAL cohesion is really about holding society together. It is about building a national identity that transcends ethnic, religion, class and gender . It is more than just a passport or an ID; it is where we achieve common purpose as citizens and when we really feel that we have equitable access and participation in the political, economic, social and cultural life of our country. It’s not about entitlement, but about equal opportunities and hope. It is about dialogue, listening and talking the Madiba Way. Madiba — Nelson Mandela — is gifted with many extra-ordinary qualities, but for me
Wengi tunafuga nyuki, tunakula asali lakini hatujui kama nyuki wana faida zaidi ya hizi hapa.
Wanasayansi kutoka chuo kikuu cha tiba Washington, Marekani wamegundua katika utafiti wao kuwa sumu iliyopo katika mwili wa nyuki iitwayo toxin melittin inaweza kuvivunjavunja na kuviharibu virusi vya Ukimwi pasipo kuacha madhara katika chembehai za mwili.
WAKULIMA wa vitunguu mkoani Singida msimu uliopita walizalisha tani 17,334 za vitunguu zenye thamani ya sh.bilioni 3.5 katika maeneo yanayolima zao hilo kwa wingi na kuuzwa kwa wafanyabiashara kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.