Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Saturday, August 31, 2013

Wajanja wanatorosha Dola bilioni 2

KWA UFUPI
Zitto alitoa taarifa hiyo jana, wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha.

Friday, August 30, 2013

SOCIAL COHESION: A VERY IMPORTANT INGREDIENT THAT’S MISSING IN AFRICA

SOCIAL cohesion is really about holding society together. It is about building a national identity that transcends ethnic, religion, class and gender . It is more than just a passport or an ID; it is where we achieve common purpose as citizens and when we really feel that we have equitable access and participation in the political, economic, social and cultural life of our country. It’s not about entitlement, but about equal opportunities and hope. It is about dialogue, listening and talking the Madiba Way. Madiba — Nelson Mandela — is gifted with many extra-ordinary qualities, but for me

New Jobs Vacancies.....about 411 Posts in Tanzania!!!

Visit our web For more information...!

Sumu ya nyuki inavyoangamiza VVU

Wengi tunafuga nyuki, tunakula asali lakini hatujui kama nyuki wana faida zaidi ya hizi hapa.
Wanasayansi kutoka chuo kikuu cha tiba Washington, Marekani  wamegundua katika utafiti wao kuwa sumu iliyopo katika mwili wa nyuki iitwayo toxin melittin inaweza kuvivunjavunja na kuviharibu virusi vya Ukimwi pasipo kuacha madhara katika chembehai za mwili.

Thursday, August 29, 2013

Wakulima wa vitunguu Singida wapata bil. 3.5/-

Uchumi na Biashara  

 WAKULIMA wa vitunguu mkoani Singida msimu uliopita walizalisha tani 17,334 za  vitunguu zenye thamani ya sh.bilioni 3.5 katika maeneo yanayolima zao hilo kwa wingi na kuuzwa kwa wafanyabiashara kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.